Hellow wanajf.
Mimi ni Mzee wa miaka 29 Sasa. Jinsia ni Me. Nimekuwa nikisumbuliwa na chunusi usoni Kwa miaka nenda Rudi. Nimechoka nataka kuwa ka wenzangu Uso safi. Nakosa kujiamini ninapotaka kuwatokea mabibi zenu sometime.
So nataka mafuta ya kuondoa hali hii ambavyo si ya kuchubua na kuwa white.
Ushauri wenu mwema nitauzingatia.
Nb.
Msianze kunambia tafuta demu Nina bibi zenu wawili huwa wananisaidia kupunguza uchovu wa mwili.
Nawasilisha
Mimi ni Mzee wa miaka 29 Sasa. Jinsia ni Me. Nimekuwa nikisumbuliwa na chunusi usoni Kwa miaka nenda Rudi. Nimechoka nataka kuwa ka wenzangu Uso safi. Nakosa kujiamini ninapotaka kuwatokea mabibi zenu sometime.
So nataka mafuta ya kuondoa hali hii ambavyo si ya kuchubua na kuwa white.
Ushauri wenu mwema nitauzingatia.
Nb.
Msianze kunambia tafuta demu Nina bibi zenu wawili huwa wananisaidia kupunguza uchovu wa mwili.
Nawasilisha