Nunua dawa inayoitwa Benzoyl Peroxide gel 2.5% paka usoni kila siku unapoenda kulala baada ya kusafisha uso vizuri na sabuni ambayo sio medicated soapHellow wanajf.
Mimi ni Mzee wa miaka 29 Sasa. Jinsia ni Me. Nimekuwa nikisumbuliwa na chunusi usoni Kwa miaka nenda Rudi. Nimechoka nataka kuwa ka wenzangu Uso safi. Nakosa kujiamini ninapotaka kuwatokea mabibi zenu sometime.
So nataka mafuta ya kuondoa hali hii ambavyo si ya kuchubua na kuwa white.
Ushauri wenu mwema nitauzingatia.
Nb.
Msianze kunambia tafuta demu Nina bibi zenu wawili huwa wananisaidia kupunguza uchovu wa mwili.
Nawasilisha
Hapo ndiyo kuna shida.tafuta demu
Haichubui mkuu?Nunua dawa inayoitwa Benzoyl Peroxide gel 2.5% paka usoni kila siku unapoenda kulala baada ya kusafisha uso vizuri na sabuni ambayo sio medicated soap
Hapo ndiyo kuna shida.
Haichubui mkuu?
No.Hapo ndiyo kuna shida.
Kwa sababu ni kwa ajili ya kutokea mabinti, basi sahau kupona.Hellow wanajf.
Mimi ni Mzee wa miaka 29 Sasa. Jinsia ni Me. Nimekuwa nikisumbuliwa na chunusi usoni Kwa miaka nenda Rudi. Nimechoka nataka kuwa ka wenzangu Uso safi. Nakosa kujiamini ninapotaka kuwatokea mabibi zenu sometime.
So nataka mafuta ya kuondoa hali hii si ya kuchubua na kuwa white.
Ushauri wenu mwema nitauzingatia.
Nb.
Msianze kunambia tafuta demu Nina bibi zenu wawili huwa wananisaidia uchovu wa mwili.
Nawasilisha
Hapana ni dawa kabisa ya hospitaliHaichubui mkuu?
Ha ha kuwa na nidhamu Kwa watu wazima dogo.Mwanaume unaogopa chunusi na vipele si bola tukupeleke kwa pdidy
Ha ha. Hiyo Iko kitaalamu kweli?Fanya mapenz Sana hasa mchana