mwalimumpole
Member
- Oct 17, 2010
- 48
- 0
Re: Chunya kumekucha wachakachuaji wawekwa lupango
nani wa kumfunga paka kengele... Jumuiya ya ulaya imeshatoa tamko kuwa MAFISADI wamebebwa na vyombo vya usalama. eti Kijana muuza mihogo na mihuri ya NEC!! Watanzania tukaze buti nchi hii si ya genge dogo la majambazi pekee...
najua mwisho wa siku watamaliza kiana stay tuned nitawajulisha wadau nini kinaendelea