Chunya, Mbeya: Mbunge Masache Kasaka afanya ziara jimboni Lupa

Chunya, Mbeya: Mbunge Masache Kasaka afanya ziara jimboni Lupa

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
ZIARA JIMBONI LUPA

Tarehe 22 Februari 2023 Mbunge wa Jimbo la Lupa, Mhe. Masache Kasaka Mbunge wa Lupa akiongozana na wajumbe wa Mfuko wa Jimbo wameendelea na ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo Wilaya ya Chunya. Amekagua;

1. Ujenzi Barabara,
2. Kituo Afya Ifumbo,
3. Sekondari Isenyela na
4. Hosteli ya Itewe Sekondari.

Mhe. Kasaka (Mb) Amemshkuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha kwenye Miradi hiyo.

#KaziIendelee

WhatsApp Image 2023-02-23 at 11.35.37.jpeg
WhatsApp Image 2023-02-23 at 11.35.36(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-02-23 at 11.35.35.jpeg
 
Back
Top Bottom