chuo baaaaaaaaaaaasi mpaka mwakani

 
wana jf nisaidieni vyuo vinavyotoa assistant medical officer hapa nchini na contact zao..ni heri nitafute diploma tu

Nenda lugalo wapo vizuri mbaya.
 
Poleni sana wote mliokosa mkopo, msikate tamaa.
 
 
wewe kichwan mtupu,we si ndio discontinued students from university of dodoma due to minimum Gpa, we stupid yani wewe ku-disco na wenzako ndio wasisome, shame upon you!

una matatizo wewe.
 
Poleni sana wote mliokosa mkopo, msikate tamaa.

Mkuu niliona kama hawa HELSB wametoa tamko kuwa waliokosa raundi ya kwanza waombe tena watapewa hasa wale ambao walikuwa na kasoro za kiufundi kwenye fomu zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…