Chuo cha Afya Tabora EA polytecnic kinalazimisha wanafunzi kumaliza ada semester ya kwanza

Chuo cha Afya Tabora EA polytecnic kinalazimisha wanafunzi kumaliza ada semester ya kwanza

Ritarita

New Member
Joined
Feb 22, 2025
Posts
4
Reaction score
2
CHUO Cha TABORA EA polytechnic kimekuwa JANGA kwa wanafunzi wanaosoma hapo kwani wanachuo wanalazimishwa kumaliza ada ya mwaka mzima ndani ya semester ya kwanza na bila hivo wasiomaliza hawafanyi mtihani hata kama wamebakiza elfu mbili tu.

Tunajua kwamba ada ndo inalipia gharama mbalimbali kama mishahara na huduma nyengine.

Cha kushangaza ni kwamba ndani ya semester ya kwanza wanaelekeza wanachuo kulipia ndani ya semester ya kwanza ada na michango mengine.

Tunaomba wizara inayohusika ifuatilie chuo hicho kinakiuka miongozo waliyoweka chuo chenyewe.
 
CHUO Cha TABORA EA polytechnic kimekuwa JANGA kwa wanafunzi wanaosoma hapo kwani wanachuo wanalazimishwa kumaliza ada ya mwaka mzima ndani ya semester ya kwanza na bila hivo wasiomaliza hawafanyi mtihani hata kama wamebakiza elfu mbili tu.

Tunajua kwamba ada ndo inalipia gharama mbalimbali kama mishahara na huduma nyengine.

Cha kushangaza ni kwamba ndani ya semester ya kwanza wanaelekeza wanachuo kulipia ndani ya semester ya kwanza ada na michango mengine.

Tunaomba wizara inayohusika ifuatilie chuo hicho kinakiuka miongozo waliyoweka chuo chenyewe.

Poleni sana.

Kwani utaratibu ulikuwaje mwanzoni? Mlikuwa mnalipia kwa awamu?

Je viongozi wenu wa wanafunzi chuoni hapo wamejaribu kufuatilia kwa uongozi wa chuo ili kupata suluhisho?

Kila la kheri
 
Back
Top Bottom