Chuo cha kiswahili-Kozi fupi taaluma, Ukalimani.

Chuo cha kiswahili-Kozi fupi taaluma, Ukalimani.

Malyamungu

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2009
Posts
363
Reaction score
12
Ndugu wana JF Hbari za hapa nyumbani natumaini wote wazima wa afya.

Wandugu, nina swali langu kwamba ni chuo gani kinachojulikana kitaifa / kimataifa au nikionyesha cheti cha ukalimani kikubalike huku ughaibuni? Kwa ujumla ninahitaji kozi fupi, pengine UDSM na ni kwa muda gani? Msaada wenu jama

kinatoa kozi fupi kwa ajili ya ukalimani?
 
Back
Top Bottom