Chuo cha Lehigh chabatilisha degree ya heshima iliyompa Trump miaka 30 iliyopita

Si ndio mnasemaga wazungu hawana uchu wa madaraka kama viongozi wa afrika.

Halafu Trump toka mwanzoni alikuwa anaonekana hayupo sawa kichwani nikawa nashangaa hawa wamarekani hawaoni hili?wengine wakasema oh ukiona hivyo ujue sijui system imempipitisha,haya kiko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…