Fendi
JF-Expert Member
- Sep 4, 2015
- 315
- 410
Kuna Hiki Chuo Cha Mandeleo Ya Jamii Jiji Mbeya Ambacho Kipo Eneo la Uyole Imekuwa Kikiendeshwa Kihuni huji Sana Bila Kujali Wanafunzi Wake..
Moja Kati ya Jambo Kubwa ni Chuo Kuchangisha Wanafunzi Fedha za Bima Za Afya, Halafu Pesa Hizo Zinapotelea Kusikojulikana.
Mwnafunzi anaugua na kwenda Hospital, Taarifa zake unakuta zinaonekana Hazipo na wala Hajalipia Bima, Wakati Pesa alishatoa Kwa Mhasibu Wa Chuo...
Pia Jambo Lingine Chuo kimekuwa na Tendency ya Kutoa Matokeo au Matangazo mbalimbali ya Chuo Kupitia Njia za MA Group ya Whatsap Ya wanafunzi Badala ya Kuwa Na Notice Board Maalumu...
Mambo Ni Mengi Sana, Lakini Kiugupi Chuo Hiki Kinaendeshwa Kihuni.. SERIKALI Ikiangalie Uongozi Wake..
Moja Kati ya Jambo Kubwa ni Chuo Kuchangisha Wanafunzi Fedha za Bima Za Afya, Halafu Pesa Hizo Zinapotelea Kusikojulikana.
Mwnafunzi anaugua na kwenda Hospital, Taarifa zake unakuta zinaonekana Hazipo na wala Hajalipia Bima, Wakati Pesa alishatoa Kwa Mhasibu Wa Chuo...
Pia Jambo Lingine Chuo kimekuwa na Tendency ya Kutoa Matokeo au Matangazo mbalimbali ya Chuo Kupitia Njia za MA Group ya Whatsap Ya wanafunzi Badala ya Kuwa Na Notice Board Maalumu...
Mambo Ni Mengi Sana, Lakini Kiugupi Chuo Hiki Kinaendeshwa Kihuni.. SERIKALI Ikiangalie Uongozi Wake..