jesca.com Member Joined Jan 11, 2015 Posts 38 Reaction score 5 Jun 4, 2015 #1 habari wansjamvii naombeni msaada kwa yeyote mwenye aina yeyote ya mawasiliano kwenye chuo cha mifugo peramioo
habari wansjamvii naombeni msaada kwa yeyote mwenye aina yeyote ya mawasiliano kwenye chuo cha mifugo peramioo
jmaroa Senior Member Joined Jul 29, 2014 Posts 111 Reaction score 22 Jun 4, 2015 #2 Na mi ningependa kujiunga na chuo chochote cha mifugo hivi huwa wanahitaji qualifications gani?
Mwanamaji JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 2,905 Reaction score 4,518 Jun 4, 2015 #3 jmaroa said: Na mi ningependa kujiunga na chuo chochote cha mifugo hivi huwa wanahitaji qualifications gani? Click to expand... Ni pm email yako nikutumie application form
jmaroa said: Na mi ningependa kujiunga na chuo chochote cha mifugo hivi huwa wanahitaji qualifications gani? Click to expand... Ni pm email yako nikutumie application form
Humilis JF-Expert Member Joined Mar 19, 2015 Posts 889 Reaction score 1,070 Jun 4, 2015 #4 jesca.com said: habari wansjamvii naombeni msaada kwa yeyote mwenye aina yeyote ya mawasiliano kwenye chuo cha mifugo peramioo Click to expand... Chuo cha mifugo #Peramio ??
jesca.com said: habari wansjamvii naombeni msaada kwa yeyote mwenye aina yeyote ya mawasiliano kwenye chuo cha mifugo peramioo Click to expand... Chuo cha mifugo #Peramio ??
Yusuph Wernery JF-Expert Member Joined Oct 2, 2013 Posts 316 Reaction score 147 Jun 4, 2015 #5 Jaman tupeane hizo contact za chuo cha mifugo peramiho
AtoZ Member Joined Oct 14, 2013 Posts 38 Reaction score 12 Jun 4, 2015 #6 Waulize superfeo na new force bus wanaenda kila siku