A
Anonymous
Guest
Wizara ya Mikopo itazame Chuo vha Mipango kuna shida gani?
Kila mara Wanachuo wanacheleweshewa Fedha za Kujikimu (boom). Pesa ziliwekwa kwenye mfumo tangu Oktoba 19, 2024 kisha Oktoba 30 zikatolewa.
Wanaotumia NMB wamepata lakini CRDB bado, Chuo utaishi vipi hii wiki ya 3 bila fedha za kujikimu na Mzazi alishajiengua huko akiamini unapata fedha?
Mbona vyuo vingine vilivyofunguliwa pamoja wameshapatiwa hizo fedha?
Kila mara Wanachuo wanacheleweshewa Fedha za Kujikimu (boom). Pesa ziliwekwa kwenye mfumo tangu Oktoba 19, 2024 kisha Oktoba 30 zikatolewa.
Wanaotumia NMB wamepata lakini CRDB bado, Chuo utaishi vipi hii wiki ya 3 bila fedha za kujikimu na Mzazi alishajiengua huko akiamini unapata fedha?
Mbona vyuo vingine vilivyofunguliwa pamoja wameshapatiwa hizo fedha?