Chuo cha MUHAS chalazimishwa kutoa mapema matokeo ya undergraduate

mayoscissors

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2009
Posts
975
Reaction score
478
Baada ya serikali ya JK kufanya maamuzi ya kuwafukaza interns 380 sasa inahaha kuwatafuta wengine na jitihada zake ni kulazimisha matokeo ya mtihani uliomalizika wiki moja iliopita ili interns wote wasambazwe kuokoa jahazi ambalo limepinduka na karibia kuzama kabisa la huduma za tiba tanganyika.

Hii imefanya senate ya chuo cha muhas kukaa mapema isivyokawaida na swali kwa serikali je hao interns atawalipaje?
 
waje waokoe wagonjwa wanaoteseka.
 

Watalipwa kama walivyokuwa wanalipwa wale waliogoma na wao wakidengua wanapigwa chini.
 
nakumbuka mwezi january serikali ilipeleka interns wapya ambao baadaye walijiunga na mgomo.kwa hiyo ni yale
 
Serikali dhaifu hufikiria mambo dhaifu na matokeo yake kila kitu kinaamuliwa na maamuzi ya kizimamoto, na mpaka JK kumaliza kipindi chake cha moto tutakua tumekiona kwa wale tutakao kuwa tumejaaliwa kupona
 
Kwani wameshindwa kuwaleta wale madaktari waliosema wanatoka nje????? u-doctor taaluma nyeti baana
 
Wale wakutoka nje ina maana ilikuwa vitisho tu? Lakini si mbaya kama waki leta hao ili mradi waokoe maisha ya watu.
 
hapo nadhani wote watapasishwa ili waokoe jahazi
 
Mna kazi mwaka huu baada ya kamgomo kenu kuchemka

Wala si utani....ka'mgomo' kamechemka....lakini kama una hata brain cells 2 tu kwenye hilo fuvu lako (wala huhitaji kilo nzima ya ubongo)...utaona kuwa ni swerikali na wananchi wanaoteseka na 'aftermath' ya mgomo huo...sio maDaktari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…