Chuo cha NIT kuanza kutoa mafunzo ya urubani

Chuo cha NIT kuanza kutoa mafunzo ya urubani

elivina shambuni

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2018
Posts
461
Reaction score
295
1577207194382.png


Chuo cha Usafirishaji (NIT) kitaanza kutoa mafunzo ya urubani ambapo tayari kimepokea Tsh. 48.9 bilioni kutoka Benki ya Dunia (WB) kwa ajili ya ununuzi wa ndege 3 za mafunzo, kujenga karakana, na hosteli.

Inaelezwa kuwa Jumla ya wanafunzi 10 wanatarajiwa kuanza mafunzo hayo kwa mwaka 2020/21.

Kufuatia hatua hiyo, Rais Dkt Magufuli ameahidi kutoa ndege nyingine mbili, kuuanga mkono jitihada za chuo hicho kuanza kufunza marubani.
 
Hongereni Sana chuo kitakuwa kinafundisha na kinatoa leseni zote za ndege za multi engine au za single engine tu?
 
Hivi zile kozi walizo kuwa wana fundisha kwa ada ya milioni zaidi ya 10 hazikuwa hizi za urubani? Sasa ndio wana anza?

Mmmh kuna shida sehemu... Labda hakukuwa na wanafunzi kipindi zina anzishwa hizo kozi sasa wana karibu kuzipa masoko wapate wanafunzi...
 
Hivi zile kozi walizo kuwa wana fundisha kwa ada ya milioni zaidi ya 10 hazikuwa hizi za urubani? Sasa ndio wana anza?

Mmmh kuna shida sehemu... Labda hakukuwa na wanafunzi kipindi zina anzishwa hizo kozi sasa wana karibu kuzipa masoko wapate wanafunzi...
Zile ni Aircraft maintenance Engineering , sio uruban ni Uinjinia wa ndege
Nimehitimu hapo
 
Zile ni Aircraft maintenance Engineering , sio uruban ni Uinjinia wa ndege
Nimehitimu hapo
Hii ya urubani ina itwaje kiongozi...? Maana kuna dogo ana soma alimaliza diploma ya mechanics hapo NIT na wakati ana maliza na hizi kozi zikawa ndio zina anza... Akapita nayo mazima...

Sasa ukiniambia urubani una anza Leo nitashangaa hakika wakati madogo wamesma na wanasoma...

Labda sina data kamili...
 
Hii ya urubani ina itwaje kiongozi...? Maana kuna dogo ana soma alimaliza diploma ya mechanics hapo NIT na wakati ana maliza na hizi kozi zikawa ndio zina anza... Akapita nayo mazima...

Sasa ukiniambia urubani una anza Leo nitashangaa hakika wakati madogo wamesma na wanasoma...

Labda sina data kamili...
Labda hukumuelewa au alikudanganya , hiyo aliyopita nayo , inaitwa Bachelor degree in Aircraft maintenance engineering ,hii ina deal zaid na ufundi wa ndege kama engine n.k , awali ada ilikuwa million. 10, baadae ikashushwa had million 6 .

Hii mpya inayoanza ambayo itaanza na watu 10 ambayo serikali inawekeza ni Ya urubani , ambayo ni aviation ,

Hiyo iliyoanza miaka ya juzi sio urubani japo wengi huwa wanadhani hivo , hii ya sasa ndio urubani sasa.
 
Daah naitamani sana
Labda hukumuelewa au alikudanganya , hiyo aliyopita nayo , inaitwa Bachelor degree in Aircraft maintenance engineering ,hii ina deal zaid na ufundi wa ndege kama engine n.k , awali ada ilikuwa million. 10, baadae ikashushwa had million 6 .

Hii mpya inayoanza ambayo itaanza na watu 10 ambayo serikali inawekeza ni Ya urubani , ambayo ni aviation ,

Hiyo iliyoanza miaka ya juzi sio urubani japo wengi huwa wanadhani hivo , hii ya sasa ndio urubani sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda hukumuelewa au alikudanganya , hiyo aliyopita nayo , inaitwa Bachelor degree in Aircraft maintenance engineering ,hii ina deal zaid na ufundi wa ndege kama engine n.k , awali ada ilikuwa million. 10, baadae ikashushwa had million 6 .

Hii mpya inayoanza ambayo itaanza na watu 10 ambayo serikali inawekeza ni Ya urubani , ambayo ni aviation ,

Hiyo iliyoanza miaka ya juzi sio urubani japo wengi huwa wanadhani hivo , hii ya sasa ndio urubani sasa.
sawa kiongozi
 
Mwaka 2016 nlkuwa pale chuoni mbona kama walikuwa wanatoa kozi hiyo ama ni nyingne maana kila kukicha nlkuwa nakutana na vidada na maboy wamevaa sare nyeupe zenye mistali ya njano mabegani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda hukumuelewa au alikudanganya , hiyo aliyopita nayo , inaitwa Bachelor degree in Aircraft maintenance engineering ,hii ina deal zaid na ufundi wa ndege kama engine n.k , awali ada ilikuwa million. 10, baadae ikashushwa had million 6 .

Hii mpya inayoanza ambayo itaanza na watu 10 ambayo serikali inawekeza ni Ya urubani , ambayo ni aviation ,

Hiyo iliyoanza miaka ya juzi sio urubani japo wengi huwa wanadhani hivo , hii ya sasa ndio urubani sasa.
Japo mm mchelewaji ila ada 10million kama Mimi nitaweza kweli
 
Hv hy ada yake bodi ya mkopo heslb hua wanatoa kama kwa wale wengine.?
 
Back
Top Bottom