Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,262
- 1,956
Habari wanaJF!
Nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu mwenye kujua chuo kilichosajiliwa na kinachotambuliwa na serikali kinachotoa kozi ya Uuguzi na Ukunga kwa ngazi ya cheti/stashahada (certificates/diploma) katika mikoa ya Iringa, Mbeya, Morogoro au Mtwara.
Pia namna/sifa ya kujiunga na chuo hicho pamoja na ada zao.
Ahsanteni..!
Nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu mwenye kujua chuo kilichosajiliwa na kinachotambuliwa na serikali kinachotoa kozi ya Uuguzi na Ukunga kwa ngazi ya cheti/stashahada (certificates/diploma) katika mikoa ya Iringa, Mbeya, Morogoro au Mtwara.
Pia namna/sifa ya kujiunga na chuo hicho pamoja na ada zao.
Ahsanteni..!