Chuo cha Nursing and Midwife (Uuguzi na Ukunga)

Kayoka

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2011
Posts
2,262
Reaction score
1,956
Habari wanaJF!
Nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu mwenye kujua chuo kilichosajiliwa na kinachotambuliwa na serikali kinachotoa kozi ya Uuguzi na Ukunga kwa ngazi ya cheti/stashahada (certificates/diploma) katika mikoa ya Iringa, Mbeya, Morogoro au Mtwara.
Pia namna/sifa ya kujiunga na chuo hicho pamoja na ada zao.
Ahsanteni..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…