Niliomba chuo(TIA) na kupata nafasi. Aidha nilipangiwa campus ya Mwanza.
Nimefika kwa ajili ya Udahili naambiwa nimepangiwa chuo kimakosa, kozi hiyo haipo kwa hapa Mwanza natakiwa niende Dar es salaam au singida kwenye Branch zao zilizopo huko.
Kwangu Mimi huu ni usumbufu wa hali ya juu kwani nimeathirika kisaikolojia na wameharibu mipango yangu ya kujiendeleza . Na hata hawajali wameishia kunipa Pole tu
Nimefika kwa ajili ya Udahili naambiwa nimepangiwa chuo kimakosa, kozi hiyo haipo kwa hapa Mwanza natakiwa niende Dar es salaam au singida kwenye Branch zao zilizopo huko.
Kwangu Mimi huu ni usumbufu wa hali ya juu kwani nimeathirika kisaikolojia na wameharibu mipango yangu ya kujiendeleza . Na hata hawajali wameishia kunipa Pole tu