KERO Chuo Cha Uhasibu Arusha hakijatoa matokea ya utafiti, majina ya wanaotakiwa kuhitimu na mahafali ni Desemba 13, 2024

KERO Chuo Cha Uhasibu Arusha hakijatoa matokea ya utafiti, majina ya wanaotakiwa kuhitimu na mahafali ni Desemba 13, 2024

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
  • Tags Tags
    sauti
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Tusaidieni kupaza sauti kwa wahitimu wa Masters chuo Cha Uhasibu Arusha IAA, graduation ni Ijumaa ya tr 13 December , mpaka sasa matokeo ya utafiti hayajatolewa , majina ya wanaotakiwa kuhitimu hayajatolewa. Yaan hamna kitu kinachoeleweka na wahusika wapo Kimya hawasemi shida Nini Nini
 
Chuo Cha Uhasibu Arusha wahitimu wa Masters tunazungushwa , graduation imetangazwa tangu mwezi wa Kumi na Moja kwamba itafanyika tr 13 December , ambayo bado siku 4 tu. Mpaka sasa matokeo ya utafiti (Research) bado hayajatolewa, majina ya wahitimu wanaotarajia ku graduate bado hayajatolewa, bado hatujaruhisiwa ku print Black books , bado hatujapewa Utaratibu wa kupata majoho. Wahusika wapo Kimya mpaka sasa
 
Chuo Cha Uhasibu Arusha wahitimu wa Masters tunazungushwa , graduation imetangazwa tangu mwezi wa Kumi na Moja kwamba itafanyika tr 13 December , ambayo bado siku 4 tu. Mpaka sasa matokeo ya utafiti (Research) bado hayajatolewa, majina ya wahitimu wanaotarajia ku graduate bado hayajatolewa, bado hatujaruhisiwa ku print Black books , bado hatujapewa Utaratibu wa kupata majoho. Wahusika wapo Kimya mpaka sasa
Nyie ndio mnasoma Master kwa mwaka mmoja 🤣
 
Tusaidieni kupaza sauti kwa wahitimu wa Masters chuo Cha Uhasibu Arusha IAA, graduation ni Ijumaa ya tr 13 December , mpaka sasa matokeo ya utafiti hayajatolewa , majina ya wanaotakiwa kuhitimu hayajatolewa. Yaan hamna kitu kinachoeleweka na wahusika wapo Kimya hawasemi shida Nini Nini
Ukiona hivyo ujue hujakidhi vigezo vya ku graduate mwaka huu jipange kwa

mwakani.
 
TCU naona kama hawako makini na kazi yao. Chuo cha Uhasibu unakuta kinafundisha mpaka Public administration, BA Education etc. vyuo vijikite kwenye taaluma zinazowatambulisha
 
TCU naona kama hawako makini na kazi yao. Chuo cha Uhasibu unakuta kinafundisha mpaka Public administration, BA Education etc. vyuo vijikite kwenye taaluma zinazowatambulisha
Tatizo ni sera ambayo inavitaka vyuo kujiendesha kwa mapato yao ya
ndani kwa hiyo imevilazimu kuongeza programme nyingi ili wapate
wanafunzi wengi zaidi na mapato yaongezeka. Imekuwa na ushindani sasa.
 
TCU naona kama hawako makini na kazi yao. Chuo cha Uhasibu unakuta kinafundisha mpaka Public administration, BA Education etc. vyuo vijikite kwenye taaluma zinazowatambulisha
Nimekuja kugundua vyuo vingi vya kibongo vinanzisha utitiri wa kozi ilihali haina wataalamu wa hizo kozi au wako wachache swala la kuajiri wataalam linakuja baadae sana
 
Elimu yetu inachezewa sana na mamlaka zipo kimya zinaangalia tu. Hadi inafikia mahali wahitimu wa Tanzania hawatapata sifa soko la dunia na hata wanafunzi toka nchi zingine hawatakuja kusoma hapa pia.
 
Back
Top Bottom