Chuo cha uhasibu arusha kufunguliwa rasmi

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,370
Chuo cha Uhasibu Arusha kinawatangazia Wanafunzi wote wa kozi

za ngazi ya Cheti hadi Stashahada ya Uzamili kwamba chuo kitafunguliwa siku ya

Alhamisi tarehe 23 Mei, 2013.




Kuanzia tarehe 23 hadi tarehe 27 Mei, 2013 kutakuwa na zoezi la usajili katika lango kuu la kuingia chuoni kwa kuzingatia mashartiyafuatayo:




1.Kila Mwanafunzi aliyeomba upya kujiunga na chuo anapaswa

kuonyesha kitambulisho chake cha chuo.

2.Kila Mwanafunzi aje na risiti au "Bank pay in slip" ya kuonyesha


malipo ya karo na fedha zote anazodaiwana chuo.



3.Kila Mwanafunzi anapaswa kuingia mkataba mpya na Chuo.

Mkataba huo unapaswa kusainiwa kabla Mwanafunzi
hajasajiliwa.


4.ANGALIZO: Hakutakuwepo na usajili baad

a ya tarehe 27 Mei,2013.

5.tarehe 28 kutakuwa na mkutano wa wanafunzi

6.Mitihani ya final na progress test itaanza tareje 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…