Chuo cha urubani Tanzania inal

Chuo cha urubani Tanzania inal

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Nimesoma mahali watu wanalalamika kuhusu marubani wa kitanzania. Kumfundisha rubani mmoja kupata commercial license inachukua karibu dola 40,000 au zaidi kwa mafunzo ya miezi mitano hadi minane. Je Tanzania kuna soko hilo kuwezesha ufunguzi wa chuo chenye sifa za kimataifa kwa haraka haraka?
 
Back
Top Bottom