Jamani,naomben mniambie wanafunz wapya Chuo cha Ustawi 2011,wanaanza kusajiliwa lini jamani wengn 2mechoka kucubir mpaka bac.Na je inavyocemekana kwamba hakina hadh ya kupokea wanafunz wa bachelor mpaka kipatiwe ithibati mpya ni hadi wa diploma na certficate,au inakuaje?naomben mnisaidie.