Mkuu soma kingine na si utalii,utalii umekufa maana landing fee ya ndege iko juu,ugaidi ndo huo,anguko la uchumi,ila kama vp karibu ila utarudi ulikotoka
Nenda pale posta mpya kuna national collage of tourism ni mkabala na makumbusho ya taifa au bank ya baclays ni cha serikali wanatoa cheti na diploma.UKITAKA DEGREE NENDA SUA ,MWEKA TUMAINI..........