Chuo gani abroad ni kizuri kwa kusomea degree ya sheria.kwa bara LA Europe,America na Asia

Chuo gani abroad ni kizuri kwa kusomea degree ya sheria.kwa bara LA Europe,America na Asia

Screenshot_20180126-220336.jpg


topuniversities.com
 
Sheria si usome hapa hapa Tz ?
Anyway hivyo hapo ameshaviweka
Ukirudi Law school inakusubiri
 
Hornet, naomba unipe umuhimu wa kusoma law hapa tz
 
Back
Top Bottom