Chuo gani cha VETA Arusha kiko vizuri na ada zao ni nafuu?

Chuo gani cha VETA Arusha kiko vizuri na ada zao ni nafuu?

Jnk official

Member
Joined
Nov 25, 2024
Posts
24
Reaction score
20
Habarini wanaJF, nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana na ameomba tumtafutie chuo bora cha VETA akasomee kozi ndefu ya umeme, ana pass ya C 2 na D 4 maana anapenda sana umeme so nilikuwa naomba kwa mwenye uzoefu anisaidie kimawazo ni chuo gani cha veta bora ARUSHA. Au hata sehemu nyingine kama kuna anayejua anisaidie

NB: Dogo anapenda sana umeme na anaamini kuna kitu anacho so nisaidieni kwa hilo.
 
Hili swali lako ukiingia kwenye website ya VETA unapata majibu chap au hata ukigoogle VETA Arusha
 
Habarini wanaJF, nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana na ameomba tumtafutie chuo bora cha VETA akasomee kozi ndefu ya umeme, ana pass ya C 2 na D 4 maana anapenda sana umeme so nilikuwa naomba kwa mwenye uzoefu anisaidie kimawazo ni chuo gani cha veta bora ARUSHA. Au hata sehemu nyingine kama kuna anayejua anisaidie

NB: Dogo anapenda sana umeme na anaamini kuna kitu anacho so nisaidieni kwa hilo.
Mpeleke veta kigoma hutojutia
 
Wiki kama mbili zimepita Serikali ilitoa fursa ya kusomesha vijana VETA bure na moja ya kozi ilikuwepo hiyo ya Umeme.

Jaribu kufuatilia kwa ukaribu uone kama unaweza kuchangamkia
 
Back
Top Bottom