Mfarisayomtata JF-Expert Member Joined Feb 2, 2012 Posts 474 Reaction score 188 Sep 8, 2014 #1 Wadau habari, Hivi chuo gani kina ada nafuu kwa kusoma post graduate diploma ya education? Kama ukiweka na vigezo itakuwa safi sana. Nawasilisha
Wadau habari, Hivi chuo gani kina ada nafuu kwa kusoma post graduate diploma ya education? Kama ukiweka na vigezo itakuwa safi sana. Nawasilisha
K kayimukaa JF-Expert Member Joined Jan 8, 2014 Posts 492 Reaction score 659 Sep 8, 2014 #2 Mfarisayomtata said: wadau habari, ivi chuo gani kina ada nafuu kwa kusoma post graduate diploma ya education? Kama ukiweka na vigezo itakuwa safi sana. Nawasilisha.... Click to expand... chuo kikuu cha arusha, ada milioni mbili hadi unamaliza hiyo kozi. open university ni milioni 3 na chuo kikuu cha dar ni milion 3.4 hadi unamaliza.
Mfarisayomtata said: wadau habari, ivi chuo gani kina ada nafuu kwa kusoma post graduate diploma ya education? Kama ukiweka na vigezo itakuwa safi sana. Nawasilisha.... Click to expand... chuo kikuu cha arusha, ada milioni mbili hadi unamaliza hiyo kozi. open university ni milioni 3 na chuo kikuu cha dar ni milion 3.4 hadi unamaliza.
K kayimukaa JF-Expert Member Joined Jan 8, 2014 Posts 492 Reaction score 659 Sep 8, 2014 #3 kigezo uwe na bachelor degree na ufaulu wa kuanzia gpa ya 2.7 na kuendelea
Mfarisayomtata JF-Expert Member Joined Feb 2, 2012 Posts 474 Reaction score 188 Sep 8, 2014 Thread starter #4 nashukuru sana waungwana, nimewapata bara-bara!