Chuo gani kizuri kwa Kozi ya Maintance of Electronic devices na Electrical appliances?

Chuo gani kizuri kwa Kozi ya Maintance of Electronic devices na Electrical appliances?

Nilisoma Moshi VTC, ilikuwa inatoa Industrial Electrical Fitter. ilikuwa bonge la kozi
Ni kucheza na ma 3 phase motor na transformers, yaani ilikuwa full vifaa kama utadhani mnasomea digrii ya electrical engineering, ila naona wameifuta sijui
 
The best VTC in Tanzania ni Moshi.
Kile chuo kina karakana nyingi na zimeenea kinyama mkali, lile chimbo lina madude yenye mikato vyede usipime.
Lakini time imesha pita ukitaka kujiunga pale vizia fomu tena around Sept or October
 
The best VTC in Tanzania ni Moshi.
Kile chuo kina karakana nyingi na zimeenea kinyama mkali, lile chombo lina madude yenye mikato vyede usipime.
Lakini time imesha pita ukitaka kujiunga pale vizia fomu tena around Sept or October
Bingwa ulipita pale?
Enzi zile sio mchezo, yaani kuacha masomo yaliyopangiliwa kiswedish sio mchezo, ni Theory, mkimaliza tu mnaingia Practical ya workshop, yaani kila siku unatoka umejifunza kitu kipya.
Halafu wanaopenda michezo, ilikuwa full vifaa, kuanzia jezi za mpira mpaka njumu, na Basketball na Volleybal na pia wadada kwenye Netball,
Nakumbuka kulikuwa mashindano tukaalikwa International school of Moshi tukaenda kukipiga na watoto wa kitasha, huwa yalikuwa kila mwaka.
Na kulikuwa na ka Gym kwenye ile kontena ya blue tulikuwa tunapasha kutafuta appetite ya nguna.
Halafu tunaenda kucheza Table tennis nyuma ya darasa la Maths na Entrepreneurship
Halafu ile Mess hall ya misosi ilikuwa ina majiko full kizungu utadhani ni hoteli ya kitalii
 
Habari za muda huu watanzania wenzangu..Nilikua napenda kufahamu chuo gani kizuri kwa kozi ya kutengeneza vifaa vya kielectronics mfano Simu,Computer na TV,ada yake pia itakua ni kiasi gani?
Level gani ya elimu unayozungumzia hapa?
 
Back
Top Bottom