Chuo gani wanaweza kunipokea muda huu?

Chuo gani wanaweza kunipokea muda huu?

Kwetu Mz

Member
Joined
Aug 20, 2014
Posts
21
Reaction score
3
Ndugu, mimi nilimaliza form four 2011, nikapata division iv ya 26, matokeo ni kama ifuatavyo: Physics "C ", Chemistry "C ", Biology "C, "B/ maths "D ", English "F ", Geography "D " na Civics "D "2012. Nilituma ualimu sikuchaguliwa.

Pia nilituma KOLANDOTO COLLEGE OF HEALTH, hapo nilichaguliwa kujiunga na diploma ya Laboratory Technology lakini kutokana na ugumu wa maisha sikufanikiwa kujiunga.

Nikasema 2013, nitatuma tena ualimu, lakini kutokana na mipango ya mungu, ilipofika 2013/ mwezi wa 3, nilipata ajali nikavunjika mguu, nilitibiwa Mhimbili kwa sasa naweza hata kutembea.

Sasa, mwaka huu niliona naendelea vizuri nikatuma ualimu lakini ndo hayo yaliyotokea, division iv hatujachaguliwa! Na yametokea hayo muda umeenda hivi. Ndg, naomba kwa anae jua,

Naweza kupata wapi chuo ambacho bado wanaruhusu kujiunga kwa muda huu, anijulishe mapema, kupitia hapa JF au katika email hii (marcoyohana2@gmail.com)

Mungu atujalie uzima amen !
 
Pole sana!Course gani mkuu unayotaka kusoma?...
Vyuo vingi wameshafunga muda wa kupokea maombi ila subiri wadau wengine watakutaarifu.
 
mkuu kwanini usiombe wizara ya afya, hapo mbona upo vizuri na uthamini ungepata sema kwasasa umechelewa
nakuhakikishia mwakani ukiomba vyuo vya wizara ya afya unaweza kupata tena na uzamini wa gharama za masomo
hizo C za bios na chem zinakubeba sana mtu wangu.
Pole kwa matatizo usijali one day YESS.


Unawezakua classmate wang maana ata mimi nimemaliza fm4 2011
 
Kwa kozi za afya kuna udhamini wa aina tatu;
1. Udhamini binafsi
2. Ufadhili wa serikali
3. Ufadhili wa mahospitali
 
yan wew usijal mi nina rafk zang walikua na credt za bios na chem kam wewe waliomba mwaka huu na wamepata chuo na uzamin kabisa.Kwahyo ndugu kwa hilo ondoa shaka kabixaa, Af siunaelewa wizara ya Afya ndo wizara inayolipa zaid ki maslai.
mi advance nilisoma PCM mwaka huu, ila nawakubali sana PCB maana BIOS inalipa asikwambie mtu
nitafute tuongee vzr endapo unahof yoyote 0712801265 maana mi si mtembeleaji xana wa huu ukurasa
 
Jamani ndg na jamaa wa JF, nimepata nafasi ya kusoma Diploma in Clinical Medicine ktk chuo cha uuguzi St.Bakhita -Rukwa. Gharama zao kwa mwaka wa kwanza ni 2,840,400/= lakini aliyejitokeza kunidhamini ameahidi kuwa ananilipia 0†5 ya pesa inayohitajika kila mwaka. Naomba msaada kwa yeyote yule mwenye msaada wa aina yoyote anisaidie kupitia (0714 984 623 au 0762 398 959) au(marcoyohana2@gmail.com) auyohanamathias129@facebook.com
 
Back
Top Bottom