Chuo hiki kichunguzwe

Uliza_Bei

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2011
Posts
3,216
Reaction score
990
Nimesikia matangazo radioni:tumaini na clouds wanatangaza chuo kinachotoa mafunzo ya mifugo ndani ya miezi 3 tu na mhitimu atakuwa na uwezo wa kusimamia kazi za mifugo popote, tena anayetaka kujiunga abebe mizigo yake akifika anajaza fomu na kupokelewa hata kama amefeli form four. My take: hii ni aibu hata kwa vyombo vya habari kukubali tangazo kama hili, udaktari wa mifugo SUA wanasomea miaka 5 hata animal sayansi tu ni miaka 3
 
Simafunzo ya kufuga chet cha nn sio udaktar
 
Mkuu fuatilia kwanza utakuta wanatoa mafunzo ya jinsi ya ufugaji bora wa mifugo na sio udaktari wa mifugo
 
Mambo ya utandawizi hayo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mmh mifugo!!!.....labda mbu, na mende
 
No, yaweza kuwa kuna mistake katika tangazo ama basi wanatoa training ya vitu fulani katika taaluma ya mifugo. Otherwise, tusiruhusu elimu ya nchi hii kuchezewa.Wakatabahu
 
Mh hao watakuwa interchick labda wanataka kutoa cheti cha ufugaji wa vifaranga....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…