Tembelea NBAA website (National Board of Accountants and Auditors - NBAA) kuna rekodi za matakeo ya cpa kwa miaka 2. wamepanga kila chuo na matokeo yake.
Utajaza mwenyewe.
Ushauri mwingine ni wa kishabiki utapotea.
Kazi kwako.
Msaada:Naomba kuuliza kuwa chuo cha TIA kwa hpa dar kiko maeneo gani?
MZUMBE ndio mpango mzimaa kwa mambo ya uhasibu
Kwa hiyo kusoma wapi ndipo unapata kazi kwa urahisi?Kusoooma mambo ya biashara ifm. Mzumbe . Au udsm....ni heri hiyoo pesa ya kusomea ufungue biashara.....ya bar kuliko kuitumia kusomaaa in short hizii course hazilipiiiii,kazi zake ngumuu kupataaa, daa mara mia ukasomee. English course .. Kuliko kupoteza muda kusoma course amabazooo future yake unaishia mtaaaniiiii
Yani we uko nchi gani? Ina maana huijui TIA? Hapo ndo shule bora kwa field unayotaka kwa sababu ni wakala wa serikali kwa mambo ya kiuhasibu na ukaguzi, vilevile ni center ya kufanyia mtihani iliyoteuliwa na Bodi ya uhasibu tanzania pia Mtihani inayofanywa na wanachuo wa pale huwa inakaguliwa na kupitia NBAA Kuangaliwa kama iko standard au imechakachuliwa na katika orodha ya vyuo bora vya uhasibu tz ni no 1 vyuo vingine viligoma kukaguliwa mtihani na bodi ya uhasibu. Na vilevile ukitaka kwenda uchkua CPA inakua rahisi kwako kuwa fevad na NBAA coz unajulikana pale. Ni hayo tuu