howard
Senior Member
- Feb 21, 2011
- 188
- 29
JAMANI NILIANGALIA CHANNEL 10 ASUBUHI MNA TAARIFA KJUNA CHUO KIKUU KINAANZISHWA KIPYA JINA NI KAMA NILIVYOTAJA HAPO JUU CHINI YA LHRC
Baraza la wadhamini linaongozwa na Askofu Sendoro
Makamu mkuu wa chuo : Prof. COSTA MAHALU
nAIBU MAKAMU MKUU : PROF. SENGONDO MVUNGI
NA WENGINEO
Ni chuo cha uongozi Tanzania na maswala ya kiingereza pia yatafundishwa kwa umakini mkubwa wanadai.
Wanasema Africa hakuna viongozi na wao wanataka kufundisha viongozi wa ukweli,pia wanataka wanafunzi wao wawe competitive kwenye soko la ajira africa na duniani kwa ujumla.
Nawakilisha rasmi.
Baraza la wadhamini linaongozwa na Askofu Sendoro
Makamu mkuu wa chuo : Prof. COSTA MAHALU
nAIBU MAKAMU MKUU : PROF. SENGONDO MVUNGI
NA WENGINEO
Ni chuo cha uongozi Tanzania na maswala ya kiingereza pia yatafundishwa kwa umakini mkubwa wanadai.
Wanasema Africa hakuna viongozi na wao wanataka kufundisha viongozi wa ukweli,pia wanataka wanafunzi wao wawe competitive kwenye soko la ajira africa na duniani kwa ujumla.
Nawakilisha rasmi.