Chuo Kikuu cha Dar es Salaam hali bado ni tete. Options

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
434
Inaelekea hali ya Wanafunzi wa Chou kikuu cha Dar Es Salaam bado ni tete kutokana na habari kuwa sasa hivi wameanza kufanya maandamano wakiwa wanatokea maeneo ya kitivo cha sheria. Haijafahamika kama maandamano hayo yamepangwa kuelekea wapi ila kwa walio karibu na wenye taarifa watujulishe hali ilivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…