tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,133
- 280
Rais Kikwete aliwahi kutangaza kuanzishwa chuo kikuu cha Kilimo huko Butiama kwa kumuenzi marehemu baba wa taifa. Lakini hadi leo hakuna kinachoendelea kuhusu chuo hicho. Gazeti la Majira la leo limeripoti kuwa chuo cha kilimo kingine kitajengwa katika mkoa mpya wa Katavi. Serikali isitoe ahadi zisizotekelezeka.