AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Nina kijana wangu alimaliza form 4 mwaka 2013 nitajuaje kama kachagulia awamu ya pili
Chuo chenye bei rahisi ni MUCCOBS mkuu huoni hata elimu yake ni yakimazabezabe., kuna jamaa yangu ndo yupo Law pale yani hata definition ya Human right hajui, Baba yake anampango wa kumuachisha tena analalamika bora hizo fees anazomlipia jamaa ni bora afuge sungura na kuku bloira.
Nisaidie
Hahaha ada ya chekechea. Baby Class. Ila kweli Udom ni cheapest so far hata SAUT nao ni cheap sema wanarundika wanafunzi wengi kwenye course moja. Eg Public Relations and Marketing wanafunzi 800
sasa hapo inakuwaje wakati wa lecture mkuu?
Chuo chenye bei rahisi ni MUCCOBS mkuu huoni hata elimu yake ni yakimazabezabe., kuna jamaa yangu ndo yupo Law pale yani hata definition ya Human right hajui, Baba yake anampango wa kumuachisha tena analalamika bora hizo fees anazomlipia jamaa ni bora afuge sungura na kuku bloira.
Aaah ni shida aisee. ..no good attention hapo. Stubbornness zitakuwepo..
Chuo chenye bei rahisi ni MUCCOBS mkuu huoni hata elimu yake ni yakimazabezabe., kuna jamaa yangu ndo yupo Law pale yani hata definition ya Human right hajui, Baba yake anampango wa kumuachisha tena analalamika bora hizo fees anazomlipia jamaa ni bora afuge sungura na kuku bloira.