Kurzweil JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 6,621 Reaction score 8,411 Oct 30, 2019 #1 Askari Polisi nchini humo wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wanaondelea na mgomo katika Chuo Kikuu cha Makerere Wanafunzi wamedai kuwa Polisi hao wametumia risasi za moto dhidi ya Wanafunzi waliokuwa vyumbani katika bweni la Mitchell Wanafunzi wa chuo hicho wako kwenye mgomo wakipinga ongezeko la 15% katika malipo yao ya ada kwa ajili ya masomo Your browser is not able to display this video.
Askari Polisi nchini humo wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wanaondelea na mgomo katika Chuo Kikuu cha Makerere Wanafunzi wamedai kuwa Polisi hao wametumia risasi za moto dhidi ya Wanafunzi waliokuwa vyumbani katika bweni la Mitchell Wanafunzi wa chuo hicho wako kwenye mgomo wakipinga ongezeko la 15% katika malipo yao ya ada kwa ajili ya masomo Your browser is not able to display this video.