CHUO KIKUU MAKERERE: Mabomu ya machozi na risasi za moto zatumika dhidi ya Wanafunzi

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
Askari Polisi nchini humo wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wanaondelea na mgomo katika Chuo Kikuu cha Makerere

Wanafunzi wamedai kuwa Polisi hao wametumia risasi za moto dhidi ya Wanafunzi waliokuwa vyumbani katika bweni la Mitchell

Wanafunzi wa chuo hicho wako kwenye mgomo wakipinga ongezeko la 15% katika malipo yao ya ada kwa ajili ya masomo
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…