Chuo kikuu Muhimbili chafuta chama cha wanafunzi (students' organization)- muhasso

drgeorge

Member
Joined
Jun 22, 2009
Posts
99
Reaction score
23
Makamu Mkuu wa chuo Kikuu Muhimbili amefuta chama cha wanafunzi (MUHASSO), students' Organization kwa kutumia hoja zisizo na mashiko, akidai ni maamuzi ya kikao cha Baraza la chuo cha tarehe 3 Juni 2011 ambacho hakuna uwakilishi wa wanafunzi baada ya kufukuzwa kwa kushinikiza umoja huo kukubaliana na mwongozo wa serikali GN 178 wa 12 juni 2009 uliosainiwa na aliyekuwa waziri wa elimu Prof. Jumanne Maghembe. Kimsingi ni mwongozo kandamizi na haukuwashirikisha wanafunzi wa vyuo.<br><br>lakini cha kushangaza TAHILISO imeduwaa tu. Hii nchi tutafika kweli?
 
Jamani,nani atawasemea wanafunzi? hilo ni janga la kitaifa.
 
Katika kile kinachoonekana ni kuwa wavivu wa kufikiria hatimaye MUHIMBILI UNIVERSITY COUNCIL imefuta rasmi student organization kwa sababu imeshindwa to comply na GN178,VIPENGELE VYA HIYO GOVERNMENT NOTICE INA MAPUNGUFU YAFUATAYO;
  • INATAKA WATU WAGOMBEE UONGOZI WENYE GPA FROM 3 AND ABOVE(Je ni viongozi gani na wangapi wa nchi hii wenye hata degree) kama ndo hivyo kuwa rais tu uwe na GPA hiyo basi ngazi kama za wabunge na mawaziri wawe na phD and others prof kabisa. pia hii inawabagua watanzania wenye haki ya kuchagua na kuchaguliwa inataka kuwe na serikali ya mseto kati ya Dean of students na viongozi wa wanafunzi.
  • nawaombeni wanajamvi mtusaidie kujadili hili coz sheria iloanzisha chuo inatambua(UNIVERSITY CHARTER) then hapa si ni kama hatuna chuo? natambua mawazo yenu ni muhimu ili tuweze kutayua hili
 
Sasa lazima vijana waamke maana sisi wazee tuna mapungufu mengi na tunakaribia kupotea. Tunaamua mambo kisultani lakini vichwa vikiwa haviwezi kufikiria logically. Hii nchi ya vijana.
 
Wafute degree ya heshima waliompa M.kwere nitawaelewa
 
Nafikiri hujaweka mada sawa sawa... au ulikuwa unawahi wodini ,Kadava? wewe gpa yako ni ngapi? au pengine wameona hao wenye gpa za chini wakikomaa na ishu za uongozi wataja uwa wananchi???.... Infact naomba uweke maelezo yako vizuri ili wadau wachangie!!
 
Inaonekana huo uongozi wa hicho chuo walikuwa hawataki serikali ya wanafunzi. Kwahiyo wamepata sababu ya kuufuta. Wasilianeni na wanasheria watawasaidia.
 
Ni suala la kisheria ziaidi kwani chuo kinaendeshwa kwa mujibu wa sheria iliyokianzisha..... Wataliweka vizuri
 
hilo jipya tena tutasikia mengi sana mwaka huu. sijawahi sikia kitu kama hicho especially kwenye vyuo vya umma maana GPA 3 kwa masomo ya medicine, BVM, engineer siyo mchezo inahitaji kugangamala lasivyo unaweza ukapata GPA ya below 3 kwa hilo naomba tu sheria zifuatwe kwanza si hakai may kuna mkono wa ccm ndani yake maana hawataki siasa vyuo lakini kwa chini chini wanafanya.
 
yani hapa namaanisha mtu ili aweze kugombea uongozi kama urais na ngazi zingine kwa hapa chuoni ni lazima afikishe hiyo gpa our concern is uongozi sio kupiga msuli sana ni kipaji afu kingine ni kuwa hizi serikali ziliwekwa kwa ajili ya wanafunzi iweje dean of students awe na mamlaka makubwa kwenye serikali za wanafunzi issue is wamefuta serikali ya wanafunzi
 
YANI HAPA NAMAANISHA WANAFUNZI TULIKATAA KU COMPLY WITH GOVERNOMENT NOTICE(GN178) AMBAYO INAHITAJI WANAFUNZI WANAOGOMBEA CHEO CHOCHOTE KWENYE SERIKALI YAO LAZIMA WAWE NA GPA YA 3 AND ABOVE NA INAWABAGUA WALE WENYE GPA BELOW ETI WATAFELI ZAIDI WHILE UONGOZI NI KIPAJI COZ KUNA WATU NI WABUNGE Lakini hata f4 hawajakanyaga na wengine hawajiendelizi na ni viongozi ila coz walipiga GPA ZA KISHIKAJI.
SHERIA YENYEWE INAMPA DEAN OF STUDENTS MADARAKA MAKUBWA KWENYE SERIKALI YA WANAFUNZI ILE HALI YEYE SIO MWANAFUNZI YANI NI KAMA TUNATENGENEZA NAE SERIKALI YA MSETO
SHERIA MAMA YA CHUO INAWEKA WAZI KUWA ILI CHUO KIITWE CHUO LAZIMA KUWE NA STUDENTS ORGANIZATION LAKINI WENYEWE HAWAONI HILO
 
oh mjadala huu kali. ila kwa ufupi, mimi binafsi nilikuwa Rais wa wanafunzi, nilikuwa nina dhani GPA sio muhimu sana, lakini ukweli ni kuwa uongozi wa wanafunzi hauhitaji uwe kilaza kihivyo au uwe bright sana. kikubwa iwepo GPA reasonable. nitarudi baadae kwa mchango zaidi.
 
Its obvious mwenye GPA below3 anamuda mwingi, hivyo its easy to challenge college adminstration. Endapo watapata watu wenye GPA above 3, interest yao itakuwa kwenye kusoma kama kawa! Kumpata mtu ana GPA kubwa pia anajitolea kiuongozi ni tabu sana!
 
dah! "we love our country but our country don't lv us" watawala wetu wametumia elimu tulizowasomesha kwa kodi zetu kutusaliti kwa nguvu zote. Haya ya Muhimbili ni nn tena watz? saa inakuja watawala wote mkae chonjo, kwa kuwa hamjui saa wala wakati ambao nguvu ya UMMA itakapokuja kwenu, kwani itakuwa ni kilio na kusaga meno, nyie endeleeni kujimwagia Petrol na kuogea mafuta ya taa karibu na moto tu.Mungu ibariki TZ, MUNGU ibariki CDM.
 
ni suala la kisheria na kisiasa pia, maana hata mwongozo huo haukuwashirikisha wanafunzi katika uundwaji wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…