OK FINE, sasa kama uki-advance fee ukalipa ya mwaka mzima 1 300 000 na ukashindwa kuendelea na semister inayo fuata watarudisha au ndo sadaka, kwa wenye uzoefu na hii tafadhali!
Nimefungua web yao nachoomba ni uzoefu wa waliopita sua
sasa nataka nijue
>library
>book&stationally
>caution
>medical
hizi naweza nisilipe mda wa kuingia nikalipa baadae hata mwezi baadae?