KIU ndiyo chuo gani tena?KATAVI UNIVERSITY au?
Wewe ni zoba sana,fatilia ujue UDOM cfa zao ni zpi? ukiwa umefaulu kama wewe hupati nafasi UDOM,UDOM dvn one mwisho dvn two.
Mkuu nenda UDOM ndo pa ukweheeee´... Usiskize majungu ya wakosaji.
Naona mwili nyumba kaona afunge mahesabu kabisaaaKIU ndiyo chuo gani tena?KATAVI UNIVERSITY au?
Wewe ni zoba sana,fatilia ujue UDOM cfa zao ni zpi? ukiwa umefaulu kama wewe hupati nafasi UDOM,UDOM dvn one mwisho dvn two.
Najivunia kuwa product bora ya UDOM.
nampango wa kuanza chuo mwakani ningependa kujua Chuo kipi bora kati ya KIU na UDOM.
Kampala International University, (KIU) Dar es Salaam campus.
Wewe ni zoba sana,fatilia ujue UDOM cfa zao ni zpi? ukiwa umefaulu kama wewe hupati nafasi UDOM,UDOM dvn one mwisho dvn two.
1.Ubora Majengo ama taaluma? 2.Na wewe mwenyewe kichwa chako ni bora? 3. Mbona hujaulizia UDSM au SUA?