Wana JF naomba munisaidie , nina mdogo wangu anataka kusoma mambo ya FINANCE sasa anajaribu kudodosa ni chuo kip kizuri yaan baab kubwa kwa cozi za FINANCE ? me nmemwambia ajarib IFM
Sisi Kama waajiri kwa sasa wanafunzi wa UDOM IFM CBE na UDSM kwa mbaali wananafasi, sasa basi bwana mdogo mwambie kijana aende chuo kimoja wapo kati ya hivyo lakini kumbuka sisi hatuajiri chuo tuna ajiri uwezo wa mwanafunzi mwenyewe kupitia grade za ufahulu wake na uwoze wake kichwani katika mazingira halisi ya kibiashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.