Sisi Kama waajiri kwa sasa wanafunzi wa UDOM IFM CBE na UDSM kwa mbaali wananafasi, sasa basi bwana mdogo mwambie kijana aende chuo kimoja wapo kati ya hivyo lakini kumbuka sisi hatuajiri chuo tuna ajiri uwezo wa mwanafunzi mwenyewe kupitia grade za ufahulu wake na uwoze wake kichwani katika mazingira halisi ya kibiashara