Chuo kizuri

Chuo kizuri

K007

Member
Joined
Jan 30, 2011
Posts
52
Reaction score
3
Wakuu issue zinaendaje jamani, nataka kujiunga na chuo kilichopo DODOMA mbali na UDOM, ni chuo gani kingine kilichopo hapo lakini ni kizuri na kiwe kimesajiliwa? Nataka kozi ya MASS COM! Please wakuu mwenye full info anisaidie hapo
 
Back
Top Bottom