Chuo ni chuo

ODILI SAMALU

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
1,369
Reaction score
489
wakuu nimegundua kuwa chuo ni chuo, kinachotakiwa ni uelewa tu kichwani mwako na ndio maana kunainterview ili kuwachuja watu ,
 
Ni kweli mkuu ila sijui unazungumzia katika mazingira gani aswaaa.
 
wakuu nimegundua kuwa chuo ni chuo, kinachotakiwa ni uelewa tu kichwani mwako na ndio maana kunainterview ili kuwachuja watu ,

haahaahaa chuo ni chuo hata kama kikiwa cha kata ....!!nimeipenda hii
 
ha ha haaa !, mkuu Excel !, a big brother is watching ! , hahahaaaa !
 
Last edited by a moderator:
wakuu nimegundua kuwa chuo ni chuo, kinachotakiwa ni uelewa tu kichwani mwako na ndio maana kunainterview ili kuwachuja watu ,
Umewaangusha jamaa kutoka vyou vinavyoitwa nguli kwenye interview nini mkuu?
 
Mkuu Excel hawa watoto watakuwa na nidhamu katika hili jukwaa. Kazi ya jana haikuwa mchezo.Pamoja sana.
 
Last edited by a moderator:
Huu ni ukorofi, dalili ya hii thread ni kukosoana as we go; haya bwana mi macho yangu tu




Sent from Nokla using Jf app
 
Siamini. wewe ulikua unaponda sana humu!

Seneta karudisha heshima ya jukwaa!
 
ndio hivyo mkuu watu wanakosa kujadili mambo ya maana wanajadili vyuo

Hivi we si ndio umeanzisha hii mada? Unaposema chuo ni chuo maana yake kuna allegation behind huenda vyuo havilingani. Ulichofanya wewe ni kutoweka justification. Hizi mada watu wanaishia kusemana hoo udom chuo cha kata sjui sua wakulima. Why, kwa nini we mutu sio mada za kujadili hizi bwanaaa




Sent from Nokla using Jf app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…