mdebwedo100
New Member
- Oct 7, 2013
- 2
- 0
ndugu zangu wale wa mwaka wa kwanza kama umezoea kujisomea peke yako huko advance chuo ni sehemu ya kushere na kudiscus na wenzio ukijichimbia peke yako utadondokea pua na ukajuta baadae penda kujisomea kwa makundi hiyo ndio siri ya kufaulu vizuri.