Chuo vs A level ?

Chuo vs A level ?

chuo cjui coz ndo natarajia kwenda. But a level inategemea coz kuna scul zngne za kidwanzi mfano ivumwe pale ni kama jkt
 
Wapi pagumu zaidi wadau tupia maoni yako katika comment !!
ndugu yangu mimi advanced level nilisoma PCM Mzumbe na Ilboru...nakumbuka ikafika kipindi wakati nasubiri kuingia chuo nilikiri kwamba hakuna msuli mgumu kama wa advanced level...lakini nilipofika chuo mwaka wa 3 pale CoET nikajua kwamba chuo ni balaa kwa maoni yangu nadhani ugumu wa msuli unadepend na course unayosoma
 
Msuli ni ule ule boss! Cdhani km kuna course ambayo inalelemama!!! So msuli ni uleule icpokuwa mazingira yamebadilika!
 
Ukienda huku na kule,mambo ni magumu zaidi chuo kuliko A-level,msuli inategemea wewe na kozi na pengine hata chuo ama lecturer.
LAKINI ELIMU ADVANCE NI NGUMU SANA.mazingira yenyewe ni magumu sana,huku vyuoni ni tofauti kuhusu mazingira.
 
Back
Top Bottom