mohammad_othar
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 247
- 42
Wapi pagumu zaidi wadau tupia maoni yako katika comment !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndugu yangu mimi advanced level nilisoma PCM Mzumbe na Ilboru...nakumbuka ikafika kipindi wakati nasubiri kuingia chuo nilikiri kwamba hakuna msuli mgumu kama wa advanced level...lakini nilipofika chuo mwaka wa 3 pale CoET nikajua kwamba chuo ni balaa kwa maoni yangu nadhani ugumu wa msuli unadepend na course unayosomaWapi pagumu zaidi wadau tupia maoni yako katika comment !!