MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Mwj1 mnh...fonts zangu hizo Mpenzi...umenishtua!
Au ni uchokozi tu? LOL...
Lol kumbe nimedesa mpaka mwandiko?? Loh...........sijui bwana mambo ya IT mie naonaga maua tu.......... pole kama nimekukwaza.
Naomba kukuuliza...............umesema wewe tabia yako mbaya ni kuwa mbishi loh... huwa unabisha with hoja na kukubali kama umezidiwa au unabisha tu na kwa kuwa wewe ni mwanaume (sorry I respect that) unategemea ukubaliwe na kupewa ushindi??
Weakness yangu nyingine ni kupenda kuliko kiasi....yaani ninajitahidi kuibadilisha hii
Nikipenda huwia inajitahidi kujifitisha kwenye maisha ya mwenzi wangu...........nachange kabisa tabia zangu ili kufit kwenye matakwa yake.....I hate that and am struggling to change>.................