sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,527
- 865
Salaam wa JF,
binafsi napenda na sipendi mtu asiye wangu aione chupi yangu pasipo sababu ya msingi, lkn nakuta jirani yangu yeye anafua na hupenda kuanika chupi zao (mke na mume ) nje ktk kamba, siku moja nikamuuliza kwa nini anaanika nguo ya ndani nje haoni kuwa anajivunjia heshima kwa watu na watoto, sikumuona kujali, nawauliza wenzangu ni ipi sehemu bora ya kuanika chupi............!!
binafsi napenda na sipendi mtu asiye wangu aione chupi yangu pasipo sababu ya msingi, lkn nakuta jirani yangu yeye anafua na hupenda kuanika chupi zao (mke na mume ) nje ktk kamba, siku moja nikamuuliza kwa nini anaanika nguo ya ndani nje haoni kuwa anajivunjia heshima kwa watu na watoto, sikumuona kujali, nawauliza wenzangu ni ipi sehemu bora ya kuanika chupi............!!