Chupi yako unaanika wapi.................?

Chupi yako unaanika wapi.................?

sinafungu

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2010
Posts
1,527
Reaction score
865
Salaam wa JF,
binafsi napenda na sipendi mtu asiye wangu aione chupi yangu pasipo sababu ya msingi, lkn nakuta jirani yangu yeye anafua na hupenda kuanika chupi zao (mke na mume ) nje ktk kamba, siku moja nikamuuliza kwa nini anaanika nguo ya ndani nje haoni kuwa anajivunjia heshima kwa watu na watoto, sikumuona kujali, nawauliza wenzangu ni ipi sehemu bora ya kuanika chupi............!!
 
Sehemu bora ni nje juani ili ikauke vizuri......!
Upige na pasi.......!!
 
Kwny kamba ili ipate hewa na kuua vijidudu, ikikauka nenda kainyooshe
 
Kwa elimu yangu ya Sayansi Kimu tunapiga pasi ili kuua vijidudu. So inabd tuanike kufuli zetu juani then tuue vijidudu kwa pasi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Chupi lazima ianikwe kwenye jua la kutosha na si kwenye kamba za vyoo vya ndani ambavyo wengi wanavyofanya.
 
haya ndo matatizo huku mwetu mwananyamla kwa bi nyau The Boss,sasa hizo kamba zenyewe za kugombania kwa wapangaji wote!sasa itakuwaje inabidi aje kuuliza tu humu!we mwambie kama aanike mchagoni,au dirishani au wapi sijui!lol!
 
mnaanikaje chupi nje jamani...chupi,soksi pamoja na taulo vinaanikwa bafuni tena unafunga taa maalum kwa ajili ya kukausha na kuua bacteria
 
mnaanikaje chupi nje jamani...chupi,soksi pamoja na taulo vinaanikwa bafuni tena unafunga taa maalum kwa ajili ya kukausha na kuua bacteria

wewe unafikir kila mtu ana bafu lake rafiki yangu?wengine tunashare mabafu na vyoo hivo oh!
 
unaweza pata kesi ya kumtega mume wa mtu lol
au ya kutisha watoto lol
umeona enh!sasa wengine pichu ni za vikamba tu na wengine ndo yale makaptura,sa tukianika nje si ndo mambo ya aibu haya!u wengine ndo zile ennzi zetu wavulana walikuwa wanatuwekea vioo kwa chini af wanakusogelea afa wanavunjika mbavu!ahahahhahhaha akha babu!mambo mengine kujitafutia aibu tu kwenye foleni za maji!ahahahhaahahhahahhaha
 
mnaanikaje chupi nje jamani...chupi,soksi pamoja na taulo vinaanikwa bafuni tena unafunga taa maalum kwa ajili ya kukausha na kuua bacteria

una fungus kilo ngapi aisee? Manake chupi, soksi na taulo ni mitambo ya kuzalisha fungus! Na kila siku unapaswa kutumia taulo safi, sidhani kama unaweza. Hiyo ya taa za maabara za kuulia bacteria is too theoritical
 
Back
Top Bottom