asante kwa pole lakini hayo mateso ni stahili yetu ni kwa sababu hamjijui tu lakini mngejijua vizuri mngetuendesha kama kokoteni mbovu.sipati picha msingeumbwa dunia ingepata hasara sana.god bless our mothers and give shame to those who torturers ladies.
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha mbavu zanguuuuuuuuuuu huku.
kama wewe ulivyoumbika siwezi kukaa karibu yako bila kusisimkwa ninyi watamu bana.yaani maneno yako tu matamu sasa we ukoje?
Hahahahahahahaha
lol..!!!
Tena maparachichi yakubonyea bonyea.
kwa kweli!eti wakisimamisha wanaumia,wakati siye wenzao tukiwa na hamu tunajipangusa tu!aahahahhahhhhahhahhahahha WANAUMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!mimi love dem bana!
Ningeshangaa nisingekuona katika mada hii
na nilikuwa na mpango wa kukuita....
Hujambo lakini mama mdogo.......
Sio mbavu zako Philipo,
yani utakuta mwanaume kaingia ktk daladala,siti zipo za kukaa lakini anang'ang'ania asimame,kisa tu mbele yake kasimama demu.
Basi gari likienda kushoto analo,kulia anarudi nalo,likifika kwenye tuta tu utakuta ashatengeneza 'mdule'
Dk mbili unashangaa 'wazungu' hao,
afu anashuka kituo kisicho chake.
Nyie nyie nyie,
Ole wenu.
Ningeshangaa nisingekuona katika mada hii
na nilikuwa na mpango wa kukuita....
Hujambo lakini mama mdogo.......
Hivi wewe unatafuta nini?
Bora umekuja mwenye mali.
Hebu muulizemo maswali,
ananitafutia nini mimi muke ya Lawyer?
Heshima yako mama,kumbe na wewe ni mtata hivi..??
Nipo Msiri wangu wa Karibu.
Hv ktk kupanda kwako daladala,hujawahi kupata kashkash na Mademu wa wenzako?
Na ndo mana nyie wanaume hamkosagi hengachifu mifukoni.
Wa daladala hawafaidi,sisi wa enzi za UDA ndio ilikuwa mambo yote na tulivyokuwa tunabanana ukielewana naye unamalizana naye ndani ya UDA kisha kila mtu anashika ustaarabu wake kesharidhika....
km una gari au pikipiki unaitundika kwenye side mirrow ili kipindi unaendesha ipigwe na upepo mkali ili kuondoa bakteria.
hahahahahahahaha,
uwiiiii,
usinichekeshe bhana.
Sasa huyo mdada atakuwa amevaa sketi yenye tobo au mnageukiana?
Ulifikiri mini sketi kazianzisha Wema...???