duh,we utakuwa familia bora!!sie wahuku Kibera never ever
mbele yenu kuna wakati tunapoteza kumbu kumbu,na tukishapoteza kumbu kumbu tunatamani tuwafaidi angalau kwa macho.sasa tukisharuhusu macho yaangaze zaidi ndo tunapoharibu hapo mtu unajiminya mgongoni unafumba macho kama ndo umebambia mzigo ghafla wazungu wapo mlima kilimanjaro wanatalii.pua ishatema kamasi tena hapo.Sio mbavu zako Philipo,
yani utakuta mwanaume kaingia ktk daladala,siti zipo za kukaa lakini anang'ang'ania asimame,kisa tu mbele yake kasimama demu.
Basi gari likienda kushoto analo,kulia anarudi nalo,likifika kwenye tuta tu utakuta ashatengeneza 'mdule'
Dk mbili unashangaa 'wazungu' hao,
afu anashuka kituo kisicho chake.
Nyie nyie nyie,
Ole wenu.
mbele yenu kuna wakati tunapoteza kumbu kumbu,na tukishapoteza kumbu kumbu tunatamani tuwafaidi angalau kwa macho.sasa tukisharuhusu macho yaangaze zaidi ndo tunapoharibu hapo mtu unajiminya mgongoni unafumba macho kama ndo umebambia mzigo ghafla wazungu wapo mlima kilimanjaro wanatalii.pua ishatema kamasi tena hapo.
Salaam wa JF,
binafsi napenda na sipendi mtu asiye wangu aione chupi yangu pasipo sababu ya msingi, lkn nakuta jirani yangu yeye anafua na hupenda kuanika chupi zao (mke na mume ) nje ktk kamba, siku moja nikamuuliza kwa nini anaanika nguo ya ndani nje haoni kuwa anajivunjia heshima kwa watu na watoto, sikumuona kujali, nawauliza wenzangu ni ipi sehemu bora ya kuanika chupi............!!
ivi chupi ni vazi la kuficha eeh?
mbona zinauzwa madukani...?au kwa sababu ni mpyaa?tatizo letu wengi tunaanika CHUPI mafichoni kwa sababu ya UKURUTU unaoota kwenye nguo hizo,,,unakuta kichupi cheusiiiii hapa kwa mbele...haswa nyie wa....!!!
uchafu wetu tu ndio unatufunga...ila kiafya chupi itundike nje...kweupeee...ipate hewa na jua kuua vijidudu...
Sio mbavu zako Philipo,
yani utakuta mwanaume kaingia ktk daladala,siti zipo za kukaa lakini anang'ang'ania asimame,kisa tu mbele yake kasimama demu.
Basi gari likienda kushoto analo,kulia anarudi nalo,likifika kwenye tuta tu utakuta ashatengeneza 'mdule'
Dk mbili unashangaa 'wazungu' hao,
afu anashuka kituo kisicho chake.
Nyie nyie nyie,
Ole wenu.
hiyo ndiyo habari ya mujini...
tena raha yake upate Tandamu...hiloo..kama faruu...mlaini kama maini..lol Madame B ngoma isambe, ngoma inayeyaa...
hata wadada siku hizi wanasugua kinaniliu chao, au matiti wanapopata mbanano...unafikiri hatujui...
wacha kabisa na nyimbo zetu za hii ndio A aa aa a ina mkia mrefu aa a aa
hii ndiyo E ee ee e ee ipo kama ngata ee ee e e
hii ndiyo i i ii ii ina kofia juu ii ii i
hii ndiyo O oo o o o ipo kama yai o o o
hii ndiyo U u uu u u ipo kama kikombe u u u u
natamani kulia nikikumbuka maaraifa niliyonayo mimi kupitia walimu wangu wa UPE nikiangalia wanangu hawana hayo maarifa.ULINDI NA ULIMBOMBO watajulia wapi
watajulia wapi kilimo cha chai burma
au kuhifadhi nyama kwa kuweka chumvi nyingi au aina za mbolea zikiwemo mbuji na samadi!
mi yangu huwa ni chumbani
Kibera ya Nairoberry au ya wapi hiyo?
Naiii moja hiyo mkuu!!hivi kwa TZ ni sawa na wapi?
Looooohh!!
BAGAH,
Acha Uwongo wewe!!
Sie mpaka tupandishe sketi au tuvue suruali hujakamatwa tu?
Nyie ndo mpango mzima,
Toka Magomeni mpaka Jangwani mshajaza 'kikombe cha Kahawa'.
Nilishawahi kumshika mtu mzima 'ududu' wake kwenye daladala.
Dawa yao ni Hiyo tu.
Huwa sivai hiyo makitu, that means sifui indicating that sianiki