Vikivunda je?
sianiki kwa sababu natumia dispozabo.....
Nakuunga mkono watu8. Nafikiri si jambo jema wala heshima kuanika chupi sehemu za wazi au nje! Utajisikiaje kuona chupi ya mama, baba, au hata dada yako au kakayako?
By the way, kama hautajali, hili jina watu8 maana yake nini?
Ningejibu lakini najuwa unanitafutia ban, kwa ufupi muulize mom nyumbani, Zomba unamjuwa? jibu utakalopata fanya siri yako.Utakua malaya, na utakua huvai chupi. Sasa kama huvai utakua unavua nini?
Nakupa heko mkuu apo naunga mkono hoja
hiyo kali, tuwekee picha ya hiyo taa. mi boxers zangu naanika juani kwenye kamba
Salaam wa JF,
binafsi napenda na sipendi mtu asiye wangu aione chupi yangu pasipo sababu ya msingi, lkn nakuta jirani yangu yeye anafua na hupenda kuanika chupi zao (mke na mume ) nje ktk kamba, siku moja nikamuuliza kwa nini anaanika nguo ya ndani nje haoni kuwa anajivunjia heshima kwa watu na watoto, sikumuona kujali, nawauliza wenzangu ni ipi sehemu bora ya kuanika chupi............!!
una fungus kilo ngapi aisee? Manake chupi, soksi na taulo ni mitambo ya kuzalisha fungus! Na kila siku unapaswa kutumia taulo safi, sidhani kama unaweza. Hiyo ya taa za maabara za kuulia bacteria is too theoritical
Huku uswahilini tunakoishi haiwezekani maana choo/bafu ni vya kugombania.
As far as I know wanatumia drier. Na sio nchi za baridi tu, hata bongo! Ulishawahi kupata picha mashuka ya hotels, towels na serviettes? Ama hospitali ya muhimbili wafue sghuka, waanike na kuanua? Ila ya taa maalum ndo nilikuwa mbado kuona. Kuishi ni kujifunza, asante kwa kunijuza mkuu.
Unaishi Tanzania hii! Imajini unachumba kimoja cha kuapanga na unafalia, usiku bed room, mchana sitting room, halafu hiyo nyumba inawapangaji 12, mnashare choo na bafu! Swali hii gumu!!
Bafu hili la paspoti size nyumba ya vyumba kumi na mbili?????
Taa inatumia solar au???
mimi ninayo moja, huwa nikiifua naivaa hivyo hivyo! hukaukia mwilini! sijawahi kuanika!
Umenichekesha mpaka nimej*mb*
zinatumia umeme ndugu...binafsi bado naamini huwezi kosa mahali muafaka pa kuanika chupi ndani ya nyumba, hiyo chupi ni kipande cha gunia au turubai hata isikauke kiurahisi ndani.
Ebana eeeh....duuuh!
Internal anal na external anal sphincter muscles zimelegea?