Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,351
Labda wanaweka vitambaa vya shughuli maalum..
Labda wanaweka vitambaa vya shughuli maalum..
Au kuweka hela? Maana wanaume zamani tulikuwa tunaficha fedha kwenye soksi na wanawake kwenye matiti, hivyo labda designer wa hiyo kitu alilenga hivyo!!!
Of coz yes !
Pande za NASA
Mambo ya ma'AIRSPACE ! Shughuli za Anga zinahusika.
mmmhhh duuuhh sijawahi kuziona ndo nasikia hapa
hahahaha itabidi niijie nije kujionea mambo ya kileo teh teh teh teh khaaaKuna moja wifi yako alliacha ghetto hapa, if you wont mind uje uitazame.
Sawasawa anne maria?
hahahaha itabidi niijie nije kujionea mambo ya kileo teh teh teh teh khaaa
hahahaha itabidi niijie nije kujionea mambo ya kileo teh teh teh teh khaaa
Uende kabisa na dawa ya penzi maana lolote laweza kutokea!!! anne maria
Beach ulienda kwa shughuli yako binafsi au kuchunguza vyupi vya wadada? taratibu mpwa
Mmh! Pekee haikidhi, tuelewe umeipenda hiyo mifuko au ? Tomboka !
mabomu ya faiza foxy!
Swaga za kishamba tu hizo wengi wao wanaweka ugoro na bange.au unakuta mdada kavaa BONGE la mchupi kama pensi
Sasa hivyo viugoro na bange....si vitalowalana tu akiwa anaogelea? Alafu ndugu, yategemea mapenzi ya mhusika kuvaa chupi anayoipendelea yeye......iwe ni BONGE la mchupi or whatever kind!!
sasa akivaa mchupi si sambusa yote itabaki nje!