Tomboka ndo nini? Khaa......mr judge bana!!
Kipipi nawee? Tomboka hii si unaniuliza mara ya pili ?
Maana yake SEMA au FUNGUKA hicho ni Ki'Congo .
Na mbona neno hilo linatumika sana hapa Jamvi ? Ndo kusema umeliona leo kwanza ? Kama jibu ndiyo siamini!
Uende kabisa na dawa ya penzi maana lolote laweza kutokea!!! anne maria
hahahaha kweli eeehh??? mmhh mbona naogopa sasa,, mie ni sista kabisaa wa kitambaa tena teh teh teh teh teh
hahahaha kweli eeehh??? mmhh mbona naogopa sasa,, mie ni sista kabisaa wa kitambaa tena teh teh teh teh teh
Tumsifu Yesu Kristo Sista anne maria, mie naitwa Katekista Mphamvu wa Parokia ya Mt. Abdallah Hamduny Al-Mahfoudh
aisee mbavu sina mie!!!
Nimeona wadada zaidi ya wanne hv wamevaa hzo chup* (tembelea beach)sasa najiuliza hyo mifuko ni mapambo tu au utaweza kuhifadhi kitu? Na ukitaka kutoa utatoaje mbele za watu? Nielewesheni jamani
wanahifadhi mchele, tena zinabeba gunia 6.
aisee mbavu sina mie!!!
ukute na koronah iliianzia hukoKukiwekwa kitu si kitaharibika!! mana kile kipochi manyoya huwa kinatema heat la hatari!!
Bado zipo madukani ?Ule ni mfuko wa kuhifadhi lady pepeta condom za kike.