CIF ni nini katika uagizaji wa magari?

CIF ni nini katika uagizaji wa magari?

Malale JB

Member
Joined
Jun 22, 2016
Posts
22
Reaction score
33
Habari wana JamiiForums!

Natamani kuagiza gari lakini kuna kitu sielewi. Naomba kufahamishwa maana ya neno CIF kwenye uagizaji wa magari mtandaoni. Mfano gari limeandikiwa Dar es salaam port Total cost CIF $2538.

Je kuna kiasi kingine nitatakiwa kulipia kabla ya kulichukua gari langu?
 
Hiyo CIF ni sehemu ya International Commercial Terms.. Zipo kumi na tatu.. Hizi ni legally binding terms zinazotumika duniani.. Lengo ni kurahisisha maelewano ya kibiashara.. Yani kile anachokiongea seller ndio kiwe kitu anachokielewa buyer na kila anachokimasnisha buyer ndio kiwe anachokielewa seller.
 
Hizi INCOTERMS zinagawanya au zinaweka ukomo wa majukumu kwa buyer na seller pia zinaeleza ni wakati gani risk inakuwa transfered kutoka jwa seller kwenda kwa buyer..
Pia zinaonesha nani ana jukumu la kulipa gharama za meli, bima na kodi katika mkataba wa mauziano ya kimataifa.
 
Hiyo ni insurance ya gari inapotoka let's say Japan kuja hapa i.e insurance ya gari likiwa kwenye maji kabla halijatoka bandarini kuja nchi kavu
 
Ok sijui kwa kampuni mulizotumia kama wanawapa insurance kama CIF. Ila kwa kampuni za japan wanazouza gari nilizotumia CIF wanakupa cost ya gari, inspection (out of radiation na inspection for Tanzania standards) na freight ndio usafirishaji wa gari mpaka port iliyokaribu nawe au port utakayopendekeza. inspection ukifanyia nchi inapotoka gari kama japan au dubai inakuwa rahisi na ina save muda kuliko kuja kufanyiwa Tanzania inayochelewesha muda na hivyo inachangia kucheleweshwa kutoka bandarini na kuchajiwa surcharges.
Insurance haiwekwi kwenye CIF kwa kuwa meli inayosafirisha ndio inayotoza ni kama $150 kwa gari dogo.
 
Yes thank you nimehakikisha kwenye page ya japan ni cost insurance na freight. Ila please kwa wanaoagiza gari japan hakikisha akikwambia CIF anamaanisha insurance cover pia.
Manake inaweza kuwa wanalalia wateja wao kwa hilo.
Pia sisitiza na hakikisha wanafanya inspection hukohuko litokako gari manake hapa bongo wakala wa bandari wasumbufu mno.
 
Yes thank you nimehakikisha kwenye page ya japan ni cost insurance na freight. Ila please kwa wanaoagiza gari japan hakikisha akikwambia CIF anamaanisha insurance cover pia.
Manake inaweza kuwa wanalalia wateja wao kwa hilo.
Pia sisitiza na hakikisha wanafanya inspection hukohuko litokako gari manake hapa bongo wakala wa bandari wasumbufu mno.
Mkuu hatuna usumbufu wowote ili mradi ulete nataka zako on time.

Ila pia kufanyia Kule ni vizuri zaidi hiyo inspection kisha wanakupa na JAAI hii ni kwa issue za magari yatokayo Japan tu.
 
Ok sijui kwa kampuni mulizotumia kama wanawapa insurance kama CIF. Ila kwa kampuni za japan wanazouza gari nilizotumia CIF wanakupa cost ya gari, inspection (out of radiation na inspection for Tanzania standards) na freight ndio usafirishaji wa gari mpaka port iliyokaribu nawe au port utakayopendekeza. inspection ukifanyia nchi inapotoka gari kama japan au dubai inakuwa rahisi na ina save muda kuliko kuja kufanyiwa Tanzania inayochelewesha muda na hivyo inachangia kucheleweshwa kutoka bandarini na kuchajiwa surcharges.
Insurance haiwekwi kwenye CIF kwa kuwa meli inayosafirisha ndio inayotoza ni kama $150 kwa gari dogo.
Cif ni incorterms za kibishiara kwa maana mzigo unasafirishwa ikiwa na gharama ya kitu, usafiri na insurance. Kuna Fob ambapo mzigo una safirishwa ikiwa na gharama ya kitu tu gharama nyingine mnunuzi nalipia akitoa mzigo.
 
Yes thank you nimehakikisha kwenye page ya japan ni cost insurance na freight. Ila please kwa wanaoagiza gari japan hakikisha akikwambia CIF anamaanisha insurance cover pia.
Manake inaweza kuwa wanalalia wateja wao kwa hilo.
Pia sisitiza na hakikisha wanafanya inspection hukohuko litokako gari manake hapa bongo wakala wa bandari wasumbufu mno.
ikiwa haina insurance sio CiF tena, hiyo ni incoterm tu inayohusiana na International trade , zipo incoterms nyingi tu ila cif ni common
 
Back
Top Bottom